Mbinu za Malipo

maswali yanayoulizwa mara kwa mara

Unakubali njia zipi za malipo?

Uhamisho wa benki na PayPal. Kwa Tanzania na Zambia tunakubali malipo ya ndani. Tafadhali wasiliana na wafanyakazi wetu wa mauzo kwa maelezo zaidi.

Je, mnakubali kadi za VISA za mkopo na za benki?

Ndiyo, tafadhali wasiliana na wafanyakazi wetu wa mauzo kwa maelezo zaidi.

Mnaccept sarafu gani?

USD, JPY, EURO, GBP

Nahitaji kulipa kwa haraka kiasi gani?

Wateja wanahitaji kuhamisha fedha ndani ya saa 48 baada ya kuhifadhi.

Je, naweza kulipa katika ofisi yenu ya eneo?

Hapana, lazima uweke kiasi kamili kwenye Akaunti Maalum ya Benki kama ilivyoonyeshwa kwenye 'Ankara'. Tunakubali njia za malipo zilizoorodheshwa kwenye ukurasa wetu wa malipo.

Ninaingiza wapi msimbo wa punguzo?

Wasifu Wangu => Taarifa za Akaunti Yangu => chagua 'Tumia Kuponi' => chagua 'Bofya Kuchagua Gari'

Je, mnatuma kabla ya malipo?

Hapana.

Je, mnapatia huduma za mkopo?

Hapana.

Je, unahitaji kuwasiliana?