- Nyumbani >
- SBT Tanzania
Magari maalum zaidi katika Tanzania
Punguzo maalumu kwa hifadhi
-
SUBARU FORESTER
USD 2,17021.94%Maili: 187,000Utambulisho wa HifadhiKB2846 -
TOYOTA WISH
USD 1,51044.07%Maili: 150,000Utambulisho wa HifadhiLZ7149 -
MAZDA VERISA
USD 1,03024.26%Maili: 72,000Utambulisho wa HifadhiIE4615 -
NISSAN WINGROAD
USD 93025.60%Maili: 134,000Utambulisho wa HifadhiSJ1207 -
NISSAN WINGROAD
USD 96026.15%Maili: 126,000Utambulisho wa HifadhiIQ0037 -
SUBARU IMPREZA G4
USD 1,32021.43%Maili: 165,000Utambulisho wa HifadhiWO9228 -
MAZDA CX5
USD 3,76024.19%Maili: 202,000Utambulisho wa HifadhiZE0289 -
HONDA STEPWAGON
USD 98020.33%Maili: 176,000Utambulisho wa HifadhiID1184 -
SUBARU IMPREZA SPORT
USD 1,17022.00%Maili: 71,000Utambulisho wa HifadhiPM6816
Mpya zimewasili
-
SUBARU IMPREZA SPORT
USD 2,180Maili: 78,000Utambulisho wa HifadhiBP3339 -
TOYOTA HARRIER
USD 8,9301.33%Maili: 165,000Utambulisho wa HifadhiNR9666 -
MAZDA ATENZA SEDAN
USD 2,4701.20%Maili: 153,000Utambulisho wa HifadhiWN9347 -
MAZDA CX5
USD 5,2401.32%Maili: 142,000Utambulisho wa HifadhiSF8192 -
DAIHATSU MIRA
USD 6901.43%Maili: 55,000Utambulisho wa HifadhiTM9336 -
SUBARU IMPREZA
USD 1,3201.49%Maili: 74,000Utambulisho wa HifadhiMG6019 -
TOYOTA MARK X ZIO
USD 1,5101.31%Maili: 166,000Utambulisho wa HifadhiDW0460 -
TOYOTA VELLFIRE
USD 2,5801.53%Maili: 181,000Utambulisho wa HifadhiIZ5092 -
BMW X1
USD 2,6401.49%Maili: 101,000Utambulisho wa HifadhiGH5726
Best Used Cars For Sale In Tanzania
Find the best Japanese used cars you have been looking for, at SBT Japan. Our never-ending collection of second-hand cars has something for everyone. We have the best-used cars for sale in Tanzania which offer a variety of affordable prices one can easily afford. We are at your service 24/7, so whether you are from Dar-es-Salaam, Mwanza, Arusha, or Dodoma, we are always waiting to deliver your favorite car to you at the lowest possible shipping prices. If there is still anything you want to ask, our representative would be more than happy to help you.
Sasa iko hewani
Kwanini umechagua SBT?
Aina mbalmbali za magari
Tuna magari ya aina zote utakalohitaji
Yapo , huko wapi
Tunasafirisha magari yaliyotumika 500,000 zaidi ya nchi 152.
Tanakuunga mkano wakati wote
timu yetu ya wasaidizi kwa wateja imeunganishwa kuunga mkono wakati wote 24/7
Ubora usiobadilika
Tunafanya ukaguzi wa kina kabla ya kusafirisha kwa hiyo tunakuletea kilicho bora kwako
Kuweka kwa uhakika
kwa zaidi ya miaka 25 katika hii tasnia, tunazingatia uaminifu unaletea ununuzi unaojirudia kwa 80%
Tunatoa bei nzuri
Unaweza kupata magari mengi ambayo yamehifadhiwa kwa wingi
Huduma zetu za kutoa forodhani na kukufikishia
Tanzania
Bandari Itakayoshushwa:
Dar es Salaam
Bei (Iliyokadiriwa)
Kuelekea | Bandari ya Dar es Salaam | Ukubwa wa Gari (m3) | |||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
-9.99 | 10-11.99 | 12-13.99 | 14-14.99 | 15-15.99 | 16-16.99 | 17-17.99 | 18-25.99 | ||
Arusha | Bandari ya Dar es Salaam | $350 | $350 | $350 | $350 | $350 | $400 | $400 | $450 |
Mwanza | Bandari ya Dar es Salaam | $450 | $450 | $450 | $450 | $450 | $500 | $550 | $600 |
Kasumbalesa | kasumbalesa | $1,210 | $1,150 | $1,270 | $1,305 | $1,350 | $1,400 | $1,405 | $1,750 |
Tunduma - Nakonde | Tunduma - Nakonde | $580 | $600 | $670 | $700 | $780 | $840 | $915 | $1,050 |
Kasumulu - Songwe | Kasumulu - Songwe | $590 | $610 | $700 | $730 | $810 | $855 | $945 | $1,075 |
Rusumo -Rwanda | Rusumo -Rwanda | $630 | $660 | $690 | $740 | $790 | $810 | $930 | $1,120 |
1 - Ushuru wa forodha wa nchi yako, gharama za upakuaji na uhifadhi bandarini na Wakala wa Meli katika nchi yako hazikuwekwa katika bei uliyonunulia. Ushuru wa forodha unatokana na ukadiriaji wa thamani ya CIF kulingana na orodha ya bei ya TRA. Gharama ya upakuaji na uhifadhi bandarini inatokana na makadirio ya forodha na dhamani ya CIF kulingana na orodha ya bei ya TPA. Gharama za wakala wa meli wa nchi yako zinatokana na taratibu na orodha ya bei kwa mujibu wa mamlaka ya nchi yako.
2 - Gharama ya Uwakala wa Forodha inategemea ukubwa na thamani ya Gari lako, kuzingatia mita za ujazo (m3) na thamani ya CIF. Kwa hiyo, bei tuliyotoa katika tovuti ni makadirio ya awali ambayo yanakujenga ili ujiandae na gharama za ndani wakati gari lako litakapofika.
3 - Pia tunatoa huduma ya kukufikishia gari lako katika nchi yako jirani na Tanzania ambayo haijaonyeshwa kwenye ramani yetu. Kwa maelezo zaidi wasiliana na ofisi zetu za Tanzania.
4 - Kwa kujua taarifa ya gari lako Wafanyakazi/Wakala wa SBT watakutumia jedwali la taarifa ya meli wakati itakapong'oa nanga Japani na kuanza safari (ETD), hadi itakapotia nanga katika bandari yako wakati wa kufika (ETS). Taarifa za meli zinaweza badilika wakati wowote kutokana na sababu mbalimbali kama vile kuchelewa au matatizo yasio kusudiwa, hivyo tutakujulisha kuhusu mabadiliko na meli itakayofuata haraka iwezekanavyo.
5 - Pia tunakuletea gari lako hadi katika Mkoa/Mji ulipo ndani ya Tanzania, kwa maelezo zaidi wasiliana na ofisi zetu za Tanzania. Watakuandalia utaratibu mzuri na wakala wa forodha aliyepitishwa na SBT kwa gharama nafuu ili kukupa amani na kukutoa hofu ya kuzungushwa na wakala asiye na vigezo na kiwango kinachorandana na huduma za SBT.
6 - Nyaraka zinazotakiwa na SBT ofisi ya Tanzania kwa kukamilisha taratibu za forodha na kutoa gari lako. Utatakiwa ututumie kwa barua pepe nakala ya kitambulisho chako kama: Hati ya kusafiria, leseni ya udereva, kitambulisho cha uraia, kitambulisho cha ajira au kitambulisho chochote kinachotambuliwa na mamlaka za Serikali yako. Tunaweza pia tukasimamia usajili wa gari lako na kukupa usajili na kadi ya gari lako, kwa maelezo zaidi wasiliana na ofisi zetu za Tanzania.
Timu ya huduma kwa wateja
Hassan (Dar-es-Salaam Office)
Bernadette
John
Dar-es-Salaam Timu ya wauzaji.
Amani
Darius
Eneles
Frida
Imelda
Jackline
Jessica
Judith
Julieth
Moza
Wahabi
Vulfrida
Paschal
Nsomi
Scholla
Ruth
Glad
Frank
Catherine Epimark Mbwani
Arusha Timu ya wauzaji.
Yusuph
Rashidi
Mwanza Timu ya wauzaji.
Baraka
SBT Tanzania
Wafanyakazi wa SBT
Maafisa wetu wa Mauzo
Maafisa wetu wa mauzo wana furaha kuzungumza na wewe kirafiki
Wakaguzi wetu
Wakaguzi wetu wataliangalia gari lako kwa makini pindi linapofika kwa Hifadhi yetu
Wasimamizi wa Mnada
Wasimamizi wa Mnada wanakuhakikishia unanunua gari lililo katika kiwango cha juu
Wasiliana nasi
-
Masaa ya Ofisi:
Mon. – Fri. : 9:00 AM - 5:00 PMKufunga:
Saturday, Sunday & Public HolidayAnuani ya Ofisi:
NHC House GF05 Samora Avenue / Zanaki Street, Dar es Salaam, Tanzania. P.O. Box 3267 Dar es salaam, Tanzania.Simu:
+255-22-2110740Rununu:
+255-766-263-008Namaba ya WhatsApp:
+255-766-263-008Barua pepe:
tanzania@sbtjapan.com -
-
Masaa ya Ofisi:
Mon.-Fri.: 9:00am-5:00pmKufunga:
Saturday, Sunday & Public HolidayAnuani ya Ofisi:
Unit 24 TFA Complex - Sokoine RoadRununu:
+255-758-123-510Namaba ya WhatsApp:
+255-758-123-510Barua pepe:
tanzania@sbtjapan.com -
Masaa ya Ofisi:
Mon.-Fri.: 9:00am-5:00pmKufunga:
Saturday, Sunday & Public HolidayAnuani ya Ofisi:
Rocky City Mall, First Floor, Wing C, Room # A54.Rununu:
+255-755-118-242Barua pepe:
tanzania@sbtjapan.com -
Masaa ya Ofisi:
Jumatatu - Ijumaa. 9 asubuhi - 5jioniKufunga:
Jumamosi,Jumapili na Sikuku za UmmaAnuani ya Ofisi:
Yokohama Plaza Bldg. 10F,
2-6 Kinko-cho, Kanagawa-ku, Yokohama, Kanagawa 221-0056 JapanSimu:
(+81) 45-290-9485Nukushi:
(+81) 45-290-9486Barua pepe:
csd@sbtjapan.com
Wakala wetu mkubwa nchini Tanzania
Apple freight Forwarders Ltd.
Mkurugenzi
Joseph A. Towo
Anuani:
P.P.F House, 5th Floor, Samora Avenue/Morogoro Road, P.O.Box 50135, Dar es Salaam,Tanzania.
Rununu:
+(25) 571-312-3510
Barua pepe:
info@applefreight.co.tz
Tovuti:
www.applefreight.co.tz