- Home >
- SBT Tanzania

Most Popular Cars In Tanzania
Special Discount Stock
-
TOYOTA IST
USD 1,19922.09%Mileage: 122,000Stock Id: RY7021 -
TOYOTA IST
USD 1,19920.86%Mileage: 76,000Stock Id: XM8728 -
SUBARU FORESTER
USD 89144.38%Mileage: 174,000Stock Id: PF1807 -
TOYOTA IST
USD 1,23825.02%Mileage: 132,000Stock Id: EN1250 -
TOYOTA VOXY
USD 64421.27%Mileage: 161,000Stock Id: QF9315 -
TOYOTA CROWN
USD 97026.01%Mileage: 92,000Stock Id: TD0725 -
TOYOTA CROWN
USD 1,33722.76%Mileage: 178,000Stock Id: CR9070 -
BMW 1 SERIES
USD 1,51521.99%Mileage: 53,000Stock Id: AX1112 -
NISSAN XTRAIL
USD 1,98030.65%Mileage: 145,000Stock Id: VI4831
Fresh Buys
-
TOYOTA ALPHARD
USD 1,842Mileage: 190,000Stock Id: YS6411 -
TOYOTA ALPHARD
USD 1,288Mileage: 104,000Stock Id: CN8316 -
NISSAN LAFESTA
USD 565Mileage: 158,000Stock Id: FD6047 -
TOYOTA RAUM
USD 842Mileage: 64,000Stock Id: AC5431 -
TOYOTA RAUM
USD 842Mileage: 108,000Stock Id: WB2692 -
TOYOTA LAND CRUISER PRADO
USD 4,753Mileage: 360,000Stock Id: WS0711 -
TOYOTA RAUM
USD 842Mileage: 101,000Stock Id: GR2803 -
TOYOTA VITZ
USD 1,535Mileage: 118,000Stock Id: IR4107 -
BMW 3 SERIES
USD 2,476Mileage: 84,000Stock Id: GN6550
Best Used Cars For Sale In Tanzania
Find the best Japanese used cars you have been looking for, at SBT Japan. Our never-ending collection of second-hand cars has something for everyone. We have the best-used cars for sale in Tanzania which offer a variety of affordable prices one can easily afford. We are at your service 24/7, so whether you are from Dar-es-Salaam, Mwanza, Arusha, or Dodoma, we are always waiting to deliver your favorite car to you at the lowest possible shipping prices. If there is still anything you want to ask, our representative would be more than happy to help you.
Customer Reviews
Now On Air
Past Broadcast
Why Choose SBT?
Wide Range Of Cars
We’ve vehicles of all the brands you desire.
Available Where You Are
We’ve exported 500,000 used cars in over 152 countries.
Supporting You Anytime
Our support team are always connected with customers 24/7.
Uncompromised Quality
We do a thorough inspection before shipping so only quality is delivered to you.
Keeping It Reliable
With over 25 years in the industry, we focus on reliability resulting in 80% repeat purchases.
Offering Best Prices
You can find a wide range of vehicles that are kept in your range.
Huduma zetu za kutoa forodhani na kukufikishia


Tanzania
Bandari Itakayoshushwa:
Dar es Salaam
Bei (Iliyokadiriwa)
Kuelekea | Bandari ya Dar es Salaam | Ukubwa wa Gari (m3) | |||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
-9.99 | 10-11.99 | 12-13.99 | 14-14.99 | 15-15.99 | 16-16.99 | 17-17.99 | 18-25.99 | ||
Arusha | Bandari ya Dar es Salaam | $350 | $350 | $350 | $350 | $350 | $400 | $400 | $450 |
Mwanza | Bandari ya Dar es Salaam | $450 | $450 | $450 | $450 | $450 | $500 | $550 | $600 |
Kasumbalesa | kasumbalesa | $1,210 | $1,150 | $1,270 | $1,305 | $1,350 | $1,400 | $1,405 | $1,750 |
Tunduma - Nakonde | Tunduma - Nakonde | $580 | $600 | $670 | $700 | $780 | $840 | $915 | $1,050 |
Kasumulu - Songwe | Kasumulu - Songwe | $590 | $610 | $700 | $730 | $810 | $855 | $945 | $1,075 |
Rusumo -Rwanda | Rusumo -Rwanda | $630 | $660 | $690 | $740 | $790 | $810 | $930 | $1,120 |
1 - Ushuru wa forodha wa nchi yako, gharama za upakuaji na uhifadhi bandarini na Wakala wa Meli katika nchi yako hazikuwekwa katika bei uliyonunulia. Ushuru wa forodha unatokana na ukadiriaji wa thamani ya CIF kulingana na orodha ya bei ya TRA. Gharama ya upakuaji na uhifadhi bandarini inatokana na makadirio ya forodha na dhamani ya CIF kulingana na orodha ya bei ya TPA. Gharama za wakala wa meli wa nchi yako zinatokana na taratibu na orodha ya bei kwa mujibu wa mamlaka ya nchi yako.
2 - Gharama ya Uwakala wa Forodha inategemea ukubwa na thamani ya Gari lako, kuzingatia mita za ujazo (m3) na thamani ya CIF. Kwa hiyo, bei tuliyotoa katika tovuti ni makadirio ya awali ambayo yanakujenga ili ujiandae na gharama za ndani wakati gari lako litakapofika.
3 - Pia tunatoa huduma ya kukufikishia gari lako katika nchi yako jirani na Tanzania ambayo haijaonyeshwa kwenye ramani yetu. Kwa maelezo zaidi wasiliana na ofisi zetu za Tanzania.
4 - Kwa kujua taarifa ya gari lako Wafanyakazi/Wakala wa SBT watakutumia jedwali la taarifa ya meli wakati itakapong'oa nanga Japani na kuanza safari (ETD), hadi itakapotia nanga katika bandari yako wakati wa kufika (ETS). Taarifa za meli zinaweza badilika wakati wowote kutokana na sababu mbalimbali kama vile kuchelewa au matatizo yasio kusudiwa, hivyo tutakujulisha kuhusu mabadiliko na meli itakayofuata haraka iwezekanavyo.
5 - Pia tunakuletea gari lako hadi katika Mkoa/Mji ulipo ndani ya Tanzania, kwa maelezo zaidi wasiliana na ofisi zetu za Tanzania. Watakuandalia utaratibu mzuri na wakala wa forodha aliyepitishwa na SBT kwa gharama nafuu ili kukupa amani na kukutoa hofu ya kuzungushwa na wakala asiye na vigezo na kiwango kinachorandana na huduma za SBT.
6 - Nyaraka zinazotakiwa na SBT ofisi ya Tanzania kwa kukamilisha taratibu za forodha na kutoa gari lako. Utatakiwa ututumie kwa barua pepe nakala ya kitambulisho chako kama: Hati ya kusafiria, leseni ya udereva, kitambulisho cha uraia, kitambulisho cha ajira au kitambulisho chochote kinachotambuliwa na mamlaka za Serikali yako. Tunaweza pia tukasimamia usajili wa gari lako na kukupa usajili na kadi ya gari lako, kwa maelezo zaidi wasiliana na ofisi zetu za Tanzania.
Customer Support Team

Paul (Dar-es-Salaam Office)

Hassan (Arusha Office)
Dar-es-Salaam Sales Team

Amani

Baraka

Catherine-Lekule

Darius

Eneles

Frida

Imelda

Irene

Jackline

Jessica

Judith

Julieth

Lazzaro

Mosha

Moza

Nurudini

Wahabi

Yusuph
SBT Tanzania



Wafanyakazi wa SBT

Maafisa wetu wa Mauzo
Maafisa wetu wa mauzo wana furaha kuzungumza na wewe kirafiki

Wakaguzi wetu
Wakaguzi wetu wataliangalia gari lako kwa makini pindi linapofika kwa Hifadhi yetu

Wasimamizi wa Mnada
Wasimamizi wa Mnada wanakuhakikishia unanunua gari lililo katika kiwango cha juu
Wasiliana nasi
-
Office Hours:
Mon. – Fri. : 9:00 AM - 5:00 PMClosed:
Saturday, Sunday & Public HolidayOffice Address:
NHC House GF05 Samora Avenue / Zanaki Street, Dar es Salaam, Tanzania. P.O. Box 3267 Dar es salaam, Tanzania.Phone:
+255-22-2110740Mobile:
+255-766-263-008WhatsApp Number:
+255-766-263-008Email:
tanzania@sbtjapan.com -
-
Office Hours:
Mon.-Fri.: 9:00am-5:00pmClosed:
Saturday, Sunday & Public HolidayOffice Address:
Unit 24 TFA Complex - Sokoine RoadMobile:
+255-758-123-510WhatsApp Number:
+255-758-123-510Email:
tanzania@sbtjapan.com -
Office Hours:
Mon.-Fri.: 9am-5pmClosed:
Saturday, Sunday & Public HolidayOffice Address:
KDX Yokohama-Nishiguchi Bldg. 7F,
2-10-36, Kitasaiwai, Nishi-ku, Yokohama, Kanagawa, 220-0004, JapanPhone:
(+8) 145-290-9485Fax:
(+8) 145-290-9486Email:
csd@sbtjapan.com
Our Great Agent in Tanzania

Apple freight Forwarders Ltd.
Director:
Joseph A. Towo
Address:
P.P.F House, 5th Floor, Samora Avenue/Morogoro Road, P.O.Box 50135, Dar es Salaam,Tanzania.
Mobile:
+(25) 571-312-3510
Email:
info@applefreight.co.tz
Website:
www.applefreight.co.tz